Asante kwa kuchangia mkuu bahati mbaya nipo ruvuma hukuKama uko dar nenda alafu kule mwenge kama unaenda kokakola mkono wa kushoto pale wanauza bei nzuri na kabla ya kununua wanakupa fundi wao anaenda kukupimia paa kabisa unanunua bati za kutosha na hazibaki
Mi nilinunua bati pale 4mtrs shilingi elfu 54000 sijajua kwa sasa kama zimeshuka bei au zimepanda
Mkuu hiyo bei ni ya 28g au 30gKama uko dar nenda alafu kule mwenge kama unaenda kokakola mkono wa kushoto pale wanauza bei nzuri na kabla ya kununua wanakupa fundi wao anaenda kukupimia paa kabisa unanunua bati za kutosha na hazibaki
Mi nilinunua bati pale 4mtrs shilingi elfu 54000 sijajua kwa sasa kama zimeshuka bei au zimepanda
Mkuu hiyo bei ni ya 28g au 30g
Mimi nilinunua bati moja kwa elfu 39 gauge 30 migongo midogo, kwa Wakala wao pale Manzese Big born, tofauti yake ikoje hapa mkuu.Kama uko dar nenda alafu kule mwenge kama unaenda kokakola mkono wa kushoto pale wanauza bei nzuri na kabla ya kununua wanakupa fundi wao anaenda kukupimia paa kabisa unanunua bati za kutosha na hazibaki
Mi nilinunua bati pale 4mtrs shilingi elfu 54000 sijajua kwa sasa kama zimeshuka bei au zimepanda
Kabisa.Kwanza haipauki. Ila mimi nilichukua migongo midogo mipana wadau wanasema inavujisha maji ndani bora midogo, na sijaona changamoto yoyote.Alaf migongo mipana wanauza 32,000. Na me nipo kwenye atua ya kuwezeka nipo naumiza kichwa. Ila ukweli ni kuwa ALAF ni best kama unauwezo chukua hizo usijiulize mara mbili
Unahitaji mawasiliano yao nikutumie?Wakuu nipo hatua ya kupaua, katika kuzunguka huko na huko kujua bati bora watu wengi wanasema ALAF, ALAF, ALAF yaani ni ALAF tu, wachache wamesema DRAGON, Dragoni baada ya kuwauliza bei yao ni 12000/ kwa mita migongo mipana 30g.
Sasa nimeshindwa kuwapata watoa huduma wa huko ALAF ili nijue bei zao. Hivyo mwenye ufahamu wa bei za Alaf anijuze tafadhali ili nifanye maamuzi
Mimi nilinunua bati moja kwa elfu 39 gauge 30 migongo midogo, kwa Wakala wao pale Manzese Big born, tofauti yake ikoje hapa mkuu.
Hii bei ni ya mwaka jana.
Ndio hivyo kaka sikujua.Tofauti migongo mikubwa na midogo wee ulinunua midogo tena wakala alikula elfu 2000 kila bati ungeenda kiwandani kojabkwa moja
Ndio hivyo kaka sikujua.
Yeah! Hicho ndicho kinanipa matumaini maana nilikuwa nawaza wapi nitapata kitu kizuri,kiukweli nyumba ilitoka vizuri sana, halafu hata baada ya kupungua sikurudi dar nilituma hela wakanitumia mzigo ukiwa umekamilika.Ila usiwaze kila sehemu hela inaliwa kama kazi yako ushamaliza sio mbaya
Kwa wakala ndio nafuu kuliko kiwandaniTofauti migongo mikubwa na midogo wee ulinunua midogo tena wakala alikula elfu 2000 kila bati ungeenda kiwandani kojabkwa moja
Habari mkuu,, ulishapata batiWakuu nipo hatua ya kupaua, katika kuzunguka huko na huko kujua bati bora watu wengi wanasema ALAF, ALAF, ALAF yaani ni ALAF tu, wachache wamesema DRAGON, Dragoni baada ya kuwauliza bei yao ni 12000/ kwa mita migongo mipana 30g.
Sasa nimeshindwa kuwapata watoa huduma wa huko ALAF ili nijue bei zao. Hivyo mwenye ufahamu wa bei za Alaf anijuze tafadhali ili nifanye maamuzi