Hansinho20021
New Member
- Sep 19, 2023
- 3
- 6
Mbegu hii ya seedco ya Mahindi inayo komaa kwa muda mrefu, Naomba kujua Bei yake kwa wakulima wanayo jua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2kg Tsh. 16000Mbegu hii ya seedco ya Mahindi inayo komaa kwa muda mrefu, Naomba kujua Bei yake kwa wakulima wanayo jua
Ni kwamba, mbegu za mahindi Seedco chapa Tembo C719 ni mbegu ambazo baadhi ya mikoa hapa Tanzania kuzipata ni vigumu maana ni mbegu ambazo zinalimwa mikoa yenye mvua nyingi kama Katavi, Rukwa, Ruvuma, Mbeya, songwe, Iringa nk.Mbegu hii ya seedco ya Mahindi inayo komaa kwa muda mrefu, Naomba kujua Bei yake kwa wakulima wanayo jua