Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pia jaribu kutembelea Hamidu City Park ipo mikwambe ni city park yenye nyumba za kisasa na zilizopangiliwa vizuriHabari wakuu.
Hivi zile nyumba(avic town) pale kigamboni, bei yake ina range kuanzia shilingi ngapi?. Yale mazingira yanavutia kwa kweli.
Asante sana mkuu, ngoja niifuatilepia jaribu kutembelea Hamidu City Park ipo mikwambe ni city park yenye nyumba za kisasa na zilizopangiliwa vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Minimum 12omHabari wakuu.
Hivi zile nyumba(avic town) pale kigamboni, bei yake ina range kuanzia shilingi ngapi?. Yale mazingira yanavutia kwa kweli.
Pako poa sanaSehemu imetulia,ina mandhari mzuri.View attachment 1460059View attachment 1460060View attachment 1460061View attachment 1460062View attachment 1460063View attachment 1460064
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vizuri ukatembelea.Duh sijajua mkuu, sijawahi fika Hilo eneo naonaga tu mtandaoni
Msaidie asingizwe 'cha kike'kuna mtu anaelekea kuingizwa 'cha kike'...……………..
Mi naonaga wasanii wakienda kufanya shooting tu ila kiukweli simjui mtu hata mmoja anaeishi huko, sijui kwavile mimi ni kapukuKuna watu wanaishi hapo? Nilipita wiki mbili zilizopita hakuonekani kama kuna wakazi.
Kuna watu wanaishi hapo? Nilipita wiki mbili zilizopita hakuonekani kama kuna wakazi.