Naomba kujuzwa bei ya nyumba Avic town, Kigamboni

Naomba kujuzwa bei ya nyumba Avic town, Kigamboni

Acehood

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,653
Reaction score
2,792
Habari wakuu.
Hivi zile nyumba(avic town) pale kigamboni, bei yake ina range kuanzia shilingi ngapi?. Yale mazingira yanavutia kwa kweli.
 
Sehemu imetulia,ina mandhari mzuri.
avictown_dar-20200526-0007.jpg
avictown_dar-20200526-0001.jpg
avictown_dar-20200526-0006.jpg
avictown_dar-20200526-0005.jpg
avictown_dar-20200526-0004.jpg
avictown_dar-20200526-0002.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanaishi hapo? Nilipita wiki mbili zilizopita hakuonekani kama kuna wakazi.
 
Kuna watu wanaishi hapo? Nilipita wiki mbili zilizopita hakuonekani kama kuna wakazi.
Mi naonaga wasanii wakienda kufanya shooting tu ila kiukweli simjui mtu hata mmoja anaeishi huko, sijui kwavile mimi ni kapuku
 
Back
Top Bottom