Naomba kujuzwa bei ya soko la ufuta

Naomba kujuzwa bei ya soko la ufuta

Mh mkuu msimu wa ufuta s ushamalizika

Vp unataka bei ya soko la dunia au ya nchini?

Makampuni makubwa ambayo yananunua ufuta mengi yashaanza kusafirisha kwenda soko la dunia

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom