miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Unazingua mkuu.mcheki ustaadh Bashe
Nimeulizia bei ya sokoni mkuu. Bei ya soko.Una uza? Ama una nunua?
Bei zilisimamaje mwaka huu kwenye minada mkuu?Mh mkuu msimu wa ufuta s ushamalizika
Vp unataka bei ya soko la dunia au ya nchini?
Makampun makubwa ambayo yananunua ufuta mengi yashaanza kusafirisha kwenda soko la dunia
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app