Jamani ninaomba kujua bei ya vitunguu huko arusha.maeneo ya karatu,kwa wakulima.nataka kufanya biashara ya kuleta hapa dar-asanteni kwa ushirikiano wenu.
Ningekushaauri uangalie maeneo kama Ruaha Mbuyuni au Homboro Dodoma huko kidogo unaweza kupata kwa bei nzuri maana karatu wakenya wameshikilia soko bei yake inaweza kuwa kubwa kuliko ukienda hizo sehemu ingawa sijui ofa yako ni kiasi gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.