Naomba Kujuzwa Bei za Ardhi katika mkoa uliyopo.

PRINCE CROWN

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,210
Reaction score
4,175
wasalaam, wandugu watanzania wenzangu. Naomba waliopo mikoani wanijuze Bei ya Mashamba kwa heka Moja.

Niwapi Ambapo Ardhi ni bei nafuu, nataka kuwekeza kwenye kilimo wandugu.

Asanteni na Mungu Awabariki Sana.
 
kondoa kwetu laki mbili unapata heka moja, karibu.
 
Tabora...hadi eka elfu 50 unapata...ila mbali na mji
 
Arusha milioni 5 hivi 3-4kms kutoka barabara ya lami.
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Karibu sumbawanga ardhi inanrutumba nzuri sana na ekali moja ni kati ya tshs 150000 hadi 200000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…