ngaillob Member Joined Sep 15, 2011 Posts 66 Reaction score 32 Jun 6, 2022 #1 Wakuu naomba mwenye uzoefu Basi gani ni zuri la kwenda Babati kutoka Dar na nauri ni sh ngapi natanguliza shukrani
Wakuu naomba mwenye uzoefu Basi gani ni zuri la kwenda Babati kutoka Dar na nauri ni sh ngapi natanguliza shukrani
namanga-kitonga JF-Expert Member Joined Feb 4, 2020 Posts 679 Reaction score 744 Jun 6, 2022 #2 ngaillob said: Wakuu naomba mwenye uzoefu Basi gani ni zuri la kwenda Babati kutoka Dar na nauri ni sh ngapi natanguliza shukrani Click to expand... nauri ### nauli. Kwa mwandiko huu, ukapande Mtei au Emigrace zinakufaa, nauli zao ni buku sita tu (6).
ngaillob said: Wakuu naomba mwenye uzoefu Basi gani ni zuri la kwenda Babati kutoka Dar na nauri ni sh ngapi natanguliza shukrani Click to expand... nauri ### nauli. Kwa mwandiko huu, ukapande Mtei au Emigrace zinakufaa, nauli zao ni buku sita tu (6).
ngaillob Member Joined Sep 15, 2011 Posts 66 Reaction score 32 Jun 6, 2022 Thread starter #3 Hahaha shukrani mkuu
Samcezar JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 13,095 Reaction score 22,731 Jun 7, 2022 #4 Pita ubungo pale mkuu utapata maelekezo yote lakini pia unaweza tumia gari private hadi dodoma then ukaunga kutokea pale.
Pita ubungo pale mkuu utapata maelekezo yote lakini pia unaweza tumia gari private hadi dodoma then ukaunga kutokea pale.