Naomba kujuzwa chuo kizuri zaidi kwa mambo ya ushonaji (Tailoring)

Naomba kujuzwa chuo kizuri zaidi kwa mambo ya ushonaji (Tailoring)

Awsom

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
1,085
Reaction score
307
Habarini wakuu,

Naomba nifahamishwe ni wapi kilipo chuo kizuri na kinachofundisha kiutendaji zaidi katika fani ya ushonaji hapa Tanzania. Natanguliza shukrani.
 
Kivetendo ni ngumu,ila.ukitaka nadharia nenda vetaaa
 
Peramiho Trade School...ila sijajua wanaendeleaje kwa sasa they used to be good hasa kushona suti za viongozi
 
Habarini wakuu,

Naomba nifahamishwe ni wapi kilipo chuo kizuri na kinachofundisha kiutendaji zaidi katika fani ya ushonaji hapa Tanzania. Natanguliza shukrani.

Naku pm naomba cheki pm yako. Ila vyuo viko vingi cha muhimu ni wepesi wa kuelewa vitu kwa haraka! Kushona ni sanaa unachotakiwa kuwa nacho kabla hujaenda shule ni kujua kama unakipaji cha hiyo fani then kinachofuata ni mafanikio.
Check pm yako.
 
Mkuu Ukishasoma PMs utumabie na sisi jamvini
 
Naku pm naomba cheki pm yako. Ila vyuo viko vingi cha muhimu ni wepesi wa kuelewa vitu kwa haraka! Kushona ni sanaa unachotakiwa kuwa nacho kabla hujaenda shule ni kujua kama unakipaji cha hiyo fani then kinachofuata ni mafanikio.
Check pm yako.

Sawa mkuu,nina mdogo wangu ana kipaji hicho na toka akiwa mdg kabisa alikuwa anapenda kufanya ushonaji
 
Nachukua nafasi hii kueneza habari hii. Jamani nakuombeni tuipigie debe sana hasa mshikaji nakuomba Freeman Mbowe yapeleke mapendekezo haya Bungeni.

Nina imani kubwa kwamba tatizo la mafuta hasa nchi zetu za kiafrika ni tatizo la kujitakia! Kwa nini nasema hivi?

Kwanza kabisa ikiwa leo hao wataalamu wanaamini kwamba pombe inayotokana na mazao yetu (ethanol) inaweza kabisa kuendesha magari na mashine zote zinazotegemea petrol na diesel. Tunapozungumzioa swala la pombe nadhani sisi waafrika tuko mbele sana kwani hii ni jadi yetu toka Nabii Nuhu, sasa tunashindwa kutumia ujuzi na elimu tuliyojaaliwa bila kwenda darasani isipokuwa tunasubiri mzungu avumbue ndipo nasi tuanze kuiga! Huu ni upotofu wa viongozi wetu wasiokuwa wabunifu na wasiotakia kheri nchi yetu zaidi ya maslahi yao na utumwa wa mawazo. Brazil ambao walikuwa wakitegemea mafuta toka nje kwa asilimia 70, leo hii wamekaribia kabisa kujitegemea kwa matumizi ya ethanol... Sii jambo gumu ama laa ajabu!.. Who knows, labda Gongo linaweza kutuondoa ktk umaskini kuliko hiyo dhahabu.
Tazama tovuti hii ifuatayo na utaona hakuna kitu tunachoshindwa sisi kukifanya tena tukiweka na wasomi wetu ndio kabisaaa!

http://www.ethanolstill.com/

Shukran mkuu
 
Back
Top Bottom