Berlin stom
Member
- Aug 4, 2023
- 34
- 21
Mimi naamini zipo dawa za kienyeji nzuri za miwasho na burning za korodani anayefahamu anisaidie wapendwa.
Karibuni
Karibuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bro papo kawaida yan hamna chochote yan papo kawaidaEmu weka picha tuone namna ya kukusaidia
Sawa fanya vile nilivyokuambiabro papo kawaida yan hamna chochote yan papo kawaida
fala sana ww 😀Emu weka picha tuone namna ya kukusaidia
Ndio umpe dawa sasa unacheka tenawe unataka mwenzio Mipumbu na Korodani iendelee kuwasha eeeh 🤣 🤣 🤣
Kwa hio hio ndio dawa ya asili?Nyoa mavuzi na uwe unavaa chupi safi usirudie kuvaa chupi hiyo hiyo siku.mbili
Kuwasha sababu yake mojawapo ni uchafu
atafute sabuni maalumu za kuogea pia,,,Nyoa mavuzi na uwe unavaa chupi safi usirudie kuvaa chupi hiyo hiyo siku.mbili
Kuwasha sababu yake mojawapo ni uchafu
apo amepewa tiba na kinga piaKwa hio hio ndio dawa ya asili?
Tiba ya kufua chupi?h
apo amepewa tiba na kinga pia
Unamshaurije mwanaume avae chupi? Chupi wanavaa wanawake.Nyoa mavuzi na uwe unavaa chupi safi usirudie kuvaa chupi hiyo hiyo siku.mbili
Kuwasha sababu yake mojawapo ni uchafu
wanaume wanavaa nini?Unamshaurije mwanaume avae chupi? Chupi wanavaa wanawake.
Mwanaume havai kitu au akishindwa kabisa anavaa boxer.