Naomba kujuzwa Faculty kwa combination ya CBA

Anotherperson

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
601
Reaction score
672
Wakuu naomba kujua faculty za chuo kwa combination ya CBA na qualifications za kusoma faculty flan au kama kuna link yoyote ili niweze kuziona
 
CBA...
mara nyingi mtu anapoamua kusoma hii comb, simply anamatarajio ya kujikita katika kilimo na ufugaji (agriculture), hapa utakutana na faculties nyingi sana kama veterinary medicine, agricultural science/general, aquatic & aquaculture,fisheries, holticulture, animal science nk nk...
Lakini ukiachilia mbali huo upande kua stadi zilizoshikamana sana na bios kama zoology, botany, biotechnology, molecular biology, prosthetics and orthotics, health sciences, microbiology,biology, some medical science courses nk nk...
Kwa sababu cba kuna chemistry you can also do, chemistry, pharmacy, PETROLEUM, CHEMISTRY, geochemistry,lab technology,textile technology, agr technology, nk nk...
Kwasababu ni science combination you can do environmental sciences, geology, education nk nk...
Kuna course zingine nyingi nyingi...

I've purposely kept petroleum chem in caps, in my words i'm advising you to keep it in your most sensitive part of your oblangata, when you're done with A'level tutakutana UDSM,never will you regret...
Karibu...
 
Science ni sayansi. Kasome B.com, sheria na takataka zote, ila huwezi UHANDISI nyingi wanataka PCM AU PGM na Udakatari wanataka PCB NA PCM.
 
Science ni sayansi. Kasome B.com, sheria na takataka zote, ila huwezi UHANDISI nyingi wanataka PCM AU PGM na Udakatari wanataka PCB NA PCM.


Acha siasa na porojo za kahawani, kijana anataka muongozo makini katika safari yake ya maisha wewe unaleta hadithi za kinyantuzu,
Haya kagua hoja yako then uicontrast na heading...
::iritated:::
 
Nashukuru sana pprz nimekuelewa vizuri sana.. Naomba mweny link yoyote anipatie
 
Acha siasa na porojo za kahawani, kijana anataka muongozo makini katika safari yake ya maisha wewe unaleta hadithi za kinyantuzu,
Haya kagua hoja yako then uicontrast na heading...
::iritated:::

Mwongozo wanatoa TCU. We unatoa unajua. Najua hujasoma CBA me nafahamu in and out. Ndo nampa high-light za msingi. Ungekuwa na uwezo wa kumpa kitu cha msingi ungemwambia asome Political Science ili akawe rais au mbunge kama mnavyofikiri kusoma kitu fulani ndo maisha.
 

Paparazi umedadafua/umechambua vizuri sana.big up!
 
Ivi kuna utofauti gani kati ya Faculty na Courses,maana mimi naona kama ni vitu viwili tofauti!!
 
kuna tofauti kubwa sana mkuu.hawa div 5 wanapenda kujichanganya hawajui walisemalo
uyu anaitaji kurekebishwa tu sio kuponda div5, coz ajafika chuo akajua kuna faculty na course, labda hata wewe kabla ujafika chuo ulikuwa na mategemeo ayo ayo ya kusoma faculty flani!!
 
Kama keshafka chuo ssa atoe somo tu, mambo ya div 5 badae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…