Habar wakuu mm ni mpambanaji nimepata kazi namshukuru Mungu ,nimepangwa Wilaya ya Momba(,Momba Dc), kabla ya hapo nilikuwa nikipambana na mishe mishe nakapata kamtaji as 7 million , sasa naomba yafutayo
1. Kijiji ambacho kimechangamka ambapo naweza kuishi.
2. Fursa za KIBIASHARA
3. Hali ya hewa
4. Fursa za kilimo n.k
Wenyeji wa huko mnaweza kusema chochote, fursa
1. Kijiji ambacho kimechangamka ambapo naweza kuishi.
2. Fursa za KIBIASHARA
3. Hali ya hewa
4. Fursa za kilimo n.k
Wenyeji wa huko mnaweza kusema chochote, fursa