pascal luoga
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 233
- 264
Ohh okay, ila kuna mtu ameniambia et ekenywa kumuona daktari tu elf 50Pale Ekenywa magomeni ni 40k bei imechachamaa na pia emdoscope zipo za aina nyingi kwasababu kile sio kipimo ni camera tu ile inayomuwezesha dokta kuona so unaweza kuwekewa puani,sikioni,sehem za siri mdomoni n.k
Hiyo kamera kwa hospital ya serikali inaweza kucost kama bei gan?Ohh okay, ila kuna mtu ameniambia et ekenywa kumuona daktari tu elf 50
ni vidonda vya tumbo tu?Endoscopy huu mpira nilidumbukizwa tumboni zaidi ya mara 3,hospital za serikali watakusumbua kidogo,
Hospital binafsi inategemea kila hospital ina bei yake,
Mimi nilifanya ya tumbo 360k
Ya pili pia bei hio hio
Ya tatu hospital ya serikali bure
Ya nne laki 8 pamoja na kuchukua sample kutuma Nairobi.
Jaribu kufanya research.
Ndio mkuu,ni vidonda vya tumbo tu?
Ulipona kwa dawa zipiNdio mkuu,
Ila nimepona kabisa
Kuna jamaa humu humu alinipa dawa nijaribu,nikipona ndio nimlipe,soma gharama zake ni kubwa.
Gharama zake zikoje mkuuKuna jamaa humu humu alinipa dawa nijaribu,nikipona ndio nimlipe,soma gharama zake ni kubwa.
Kuna jamaa humu humu alinipa dawa nijaribu,nikipona ndio nimlipe,soma gharama zake ni kubwa.
Wakuu naombeni kujua gharama ya kipimo cha endoscopy kile cha mrija wenye camera ambao unaingizwa puani.
Naomba namba ya aliyekusaidiaKuna jamaa humu humu alinipa dawa nijaribu,nikipona ndio nimlipe,soma gharama zake ni kubwa.
Kwa miaka hii sijui ila 2014 nilipimwa bugando na walinicharge 70,000/=Wakuu naombeni kujua gharama ya kipimo cha endoscopy kile cha mrija wenye camera ambao unaingizwa puani.
mkuu pole mimi vina ni tesa na kuna mda ukitapika mda unaanza ku tapika damuNdio mkuu,
Ila nimepona kabisa
Mtaje tu mkuu ili wengine wanufaike kupitia weweKuna jamaa humu humu alinipa dawa nijaribu,nikipona ndio nimlipe,soma gharama zake ni kubwa.
Private ni 200000=Mzee wangu Ana vidonda vya tumbo shida ni kwamba kila akiongexewa damu baada ya siku kadhaa hb inashuka..
Kesho anaenda kufanya kipimo cha endoscopy / OGD