Uchaguzi 2020 Naomba kujuzwa gharama za fomu za CCM

Uchaguzi 2020 Naomba kujuzwa gharama za fomu za CCM

kichakaa man

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
5,500
Reaction score
5,164
Naomba kujua gharama za fomu kwa wale wote wanaotaman kugombea kupitia CCM wanatakiwa kulipia kiasi gani Cha fomu. Yaani ngazi ya Udiwani na Ubunge (Urais najua ni 1 Million)

Asanteni.
 
Naomba kujua gharama za fomu kwa wale wote wanaotaman kugombea kupitia CCM wanatakiwa kulipia kiasi gani Cha fomu. Yaani ngazi ya Udiwani na Ubunge (Urais najua ni 1 Million)

Asanteni.

Na fomu ya URAIS ilichapishwa moja tu kwaajili ya mfalme.
 
Back
Top Bottom