Naomba kujuzwa gharama za kufanya wiring

Naomba kujuzwa gharama za kufanya wiring

Inategemeana na sehemu husika
Imekaaje
2
Inategemeana na aina ya wayaring system unayoitaka
Utataka conduit au surface
Yaani waya zipite kwenye bomba au zipite kawaida
Kama zitapita kwenye bomba
Pesa yakutindua ukuta itaongezea ila kama utafanya surface basi hera ya waya itaongezeka kwasababu surface inazingatia kona koba
Na kona kina zinamaliza waya
Anyway
Kitawala kikuu (mainswitch) tuseme 30000
Circuit bleaker 13000
Earthrod labda uweke ya 6000 japo zipo had za 40000
6mm (ile inayochukua umeme nje kuleta ndani) labda uchukue 3meter ambaya garama yake ni 4000 kwa meter
1.2mm hapo tuseme kama 40 meter ambayo nayo imepanda bei kidogo nadhan now inacheza kwenye 1500 kwa meter au pungufu kidogo
2.1mm utachukua mita 15 ambayo inacheza kwenye 1800-2000
Square box zitakua 4
Switch sockets zitakua2
Lamp horder zitakua 3 ndani mbili na nje moja
Na crips usizisahau apo
Tuseme maxmum kwa vifaa tu vinaweza kufika 150 hadi 200
Fundi sijajua kwasabau kila mtu na bei zake
Usisahau muhuri!
Ghalama ya kulipia Tanesco inategemeana na ulipo, nadhani mjini ni laki 321 ila vijijini ni elfu27
 
Gharama zake ni ndogo sana mkuu wasikutishe.

Kwa room mbili:-

1. Lazima kila room iwe na bomba nne za ukutani yaani za taa 2 na za TV mbili ina maana utanunua bomba nane, pia bomba za kutambaa kwenye mtambaa panya lets say 10 kwa kila chumba jumla 20, max weka 30 ambao ni Tsh 45,000/=(Zile Nyeupe ndio ngumu).

2. Nyaya blue, red na black rola moja moja jumla Tsh 90,000-100,000/=

3. Vibati na socket kimoja jero lets say 16 unanunua 8,000/=

4. Main Switch 4 ways - elfu 50, cb =25,000/=

5. Waya wa 16 hapo inategemea na umbali wanauza kwa meter ambapo kwa Meter ni buku 2-3.

Kwahiyo Jumla hapo juu haizidi 250,000/= Fundi ni maelewano naye tu.
 
Gharama zake ni ndogo sana mkuu wasikutishe.

Kwa room mbili:-

1. lazima kila room iwe na bomba nne za ukututani yaani za taa 2 na za TV mbili inamaana utanunua bomba nane,pia bomba za kutambaa kwenye mtambaa panya lets say 10 kwa kila chumba jumla 20 ,max weka 30 ambao ni Tsh 45,000/=(Zile Nyeupe ndio ngumu).

2. Nyaya blue,red na black rola moja moja jumla Tsh 90,000-100,000/=

3.Vibati na socket kimoja jero lets say 16 unanunua , 8,000/=

4.Main Switch 4 ways - elfu 50 ,cb =25,000/=

5. waya wa 16 hapo inategemea na umbali wanauza kwa meter ambapo kwa Meter ni buku 2-3.

Kwahiyo Jumla hapo juu haizidi 250,000/= Fundi ni maelewano naye tu.
Aisee! Yaani JF unaweza changanyikiwa kabisa maana.

Kuna njemba juu hapo kaandika 1.5 million.
 
Aisee! Yaani jf unaweza changanyikiwa kabisa maana.

Kuna njemba juu hapo kaandika 1.5 million.

Wengi wanaotoa ushauri wanasikiliza story za vijiweni, hawajawahi kujenga hata chumba kimoja cha full suti.... Kwa vyumba viwili gharama yake ndogo sana hiyo niliyotaja hapo juu.
 
Aisee! Yaani jf unaweza changanyikiwa kabisa maana.

Kuna njemba juu hapo kaandika 1.5 million.
Chief alichokushauri King Kong III kina mantiki.

Mimi nyumba ya vyumba vi4 hesabu ya vifaa vya umeme ilikuwa laki 4 na ushehe hivi nikakadiria nikafanya laki 5,

Gharama ya vifaa vya umeme na maji imefika laki 8 hivi.
IMG_20210220_095740.jpg
 
sijaona bei ya waya hapo, iyo main switch amekupiga, bei elekezi ni 85k tena Tronic
Shukrani kwa kunigutua.. Uzuri vifaa nitaenda nunua mwenyewe, nipe bei elekezi ya vitu vingine..

Ama itakuwa vema kama utanijuza bei za jumla Kariakoo, nikaruke navyo.
 
Shukrani kwa kunigutua.. Uzuri vifaa nitaenda nunua mwenyewe, nipe bei elekezi ya vitu vingine..

Ama itakuwa vema km utanijuza bei za jumla kariakoo, nikaruke navyo.
Nilijua unatoa ushauri ukiwa tayari ushafanya implementation ya huo mchanganuo. Hawa mafundi wetu huwa hawachelewi kusema wamesahau kuandika hiki na kile.
 
Back
Top Bottom