Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
Habari wanajukwaa:
Kama mnavyotambua na kuelewa ni nchi yetu na Dunia kwa ujumla tuko katika kampeni ya matumizi ya nishati mbadala kama bayogesi, umeme na Gesi nyinginezo ili kukwepa matumizi ya kuni na mikaa kupunguza uharibifu wa mazingira.
Wataalamu na wazoefu wengine ambao pengine mmefunga nyumbani au kwenye taasisi tusaidieni kupata gharama za kufanya hii kitu.
1. Kufunga mtambo wa Bayogesi kwa raia labda kwa matumizi ya nyumbani tu nini kinahitajika na gharama zake zikoje ?
2. Kufunga mtambo kwa Taasisi zenye watu wengi mfano shule labda kwa matumizi ya kupikia chakula cha wanafunzi Kuanzia 600-1000 gharama zake zikoje na nini kinahitajika?
Pia wakati natafuta majibu kuna mtu alinipa idea ya kutumia hii gesi ya kawaida tunayotumia majumbani kama ORXY , Mihan n.k kwamba kuna wataalamu pia wanaofunga hizi gesi kwenye taasisi zenye watu wengi kama shule na hospitali ila unaongea na kampuni mfano ORXY wanakuuzia mtungi mkubwa zaidi labda lita 200 n.k wao wanafanya installation za vifaa mpaka jikoni ikishakamilika wao watakua wanakuuzia Gesi tu, Tafadhali kama kuna mtaalam atusaidie hapa!
Hivyo hivyo wadau tukiachana na hiyo Bayogesi, je kwenye matumizi ya umeme wa TANESCO tunawezaje kuutumia huu ememe kwenye kupika chakula cha watu wengi mfano shuleni , hospital au kwenye shughuli ?
Je kuna majiko makubwa ya umeme ya kuweza kuandaa chakula cha watu 500-1000 au vifaa au vyombo vikubwa kama hizo Rice cooker 🤣 zenye kuweza kupika hadi kilo 80-100 za mchele au maharage ?
Hii mada itawafaidisha wamiliki wa shule , Hospitali , Kambi za Jeshi, Magereza n.k
Karibuni sana wataalam.
Kama mnavyotambua na kuelewa ni nchi yetu na Dunia kwa ujumla tuko katika kampeni ya matumizi ya nishati mbadala kama bayogesi, umeme na Gesi nyinginezo ili kukwepa matumizi ya kuni na mikaa kupunguza uharibifu wa mazingira.
Wataalamu na wazoefu wengine ambao pengine mmefunga nyumbani au kwenye taasisi tusaidieni kupata gharama za kufanya hii kitu.
1. Kufunga mtambo wa Bayogesi kwa raia labda kwa matumizi ya nyumbani tu nini kinahitajika na gharama zake zikoje ?
2. Kufunga mtambo kwa Taasisi zenye watu wengi mfano shule labda kwa matumizi ya kupikia chakula cha wanafunzi Kuanzia 600-1000 gharama zake zikoje na nini kinahitajika?
Pia wakati natafuta majibu kuna mtu alinipa idea ya kutumia hii gesi ya kawaida tunayotumia majumbani kama ORXY , Mihan n.k kwamba kuna wataalamu pia wanaofunga hizi gesi kwenye taasisi zenye watu wengi kama shule na hospitali ila unaongea na kampuni mfano ORXY wanakuuzia mtungi mkubwa zaidi labda lita 200 n.k wao wanafanya installation za vifaa mpaka jikoni ikishakamilika wao watakua wanakuuzia Gesi tu, Tafadhali kama kuna mtaalam atusaidie hapa!
Hivyo hivyo wadau tukiachana na hiyo Bayogesi, je kwenye matumizi ya umeme wa TANESCO tunawezaje kuutumia huu ememe kwenye kupika chakula cha watu wengi mfano shuleni , hospital au kwenye shughuli ?
Je kuna majiko makubwa ya umeme ya kuweza kuandaa chakula cha watu 500-1000 au vifaa au vyombo vikubwa kama hizo Rice cooker 🤣 zenye kuweza kupika hadi kilo 80-100 za mchele au maharage ?
Hii mada itawafaidisha wamiliki wa shule , Hospitali , Kambi za Jeshi, Magereza n.k
Karibuni sana wataalam.