MalaikaMweupe
Member
- Feb 24, 2009
- 72
- 18
Habari za humu wadau?
Msaada wenu tafadhali.
Ninahitaji kupiga rafu sakafu, fundi kanambia labour charge ni sh 800,000/ ambapo ataongeza kifusi chini kidogo kunyanyua, maana kilikuwa kimeshawekwa kitambo na kazi inayobaki ya rafu, gharama yake ndo kanambia laki8, mimi nmeona ni parefu sana.
Mnasemaje?
Ushauri wenu pliz
Msaada wenu tafadhali.
Ninahitaji kupiga rafu sakafu, fundi kanambia labour charge ni sh 800,000/ ambapo ataongeza kifusi chini kidogo kunyanyua, maana kilikuwa kimeshawekwa kitambo na kazi inayobaki ya rafu, gharama yake ndo kanambia laki8, mimi nmeona ni parefu sana.
Mnasemaje?
Ushauri wenu pliz