Naomba kujuzwa gharama za kuweka Gypsum katika nyumba

Mkohoti

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
1,857
Reaction score
2,919
Habarini wadau,

Kama mada ilivyojieleza. Naomba kujua kwa nyumba yenye sebule, dining, jiko, vyumba viwili na master. Kwa makadirio inaweza ikacost shilingi ngapi kuiweka Gypsum. Na ni Gypsam board gani nzuri na cost ni shilling ngapi?

Natanguliza shukran.
 
Aluyekupigia blander ana uwezo mkubwa wa kukupa gharama zote
 
Inategemea na sqm za nyumba yako. Board moja inauzwa 14,000-22,000/- muulize fundi nyumba yako inahitaji board ngapi.
Thanx mkuu, ngoja nitamcheki. May be kwa uzoefu wako kwa nyumba kama hiyo makadirio tu.
 
Thanx mkuu, ngoja nitamcheki. May be kwa uzoefu wako kwa nyumba kama hiyo makadirio tu.
Ngoja nikapitie rekodi zangu. Kuna uzi humu niliweka jinsi gani ufanye utumie boards chache ngoja niutafute
 
Hope ni hii, asante
 
Kaka tuwasilia ili ofisi ya UVIMO ikiwa ni umoja wa mafundi ujezi wakupe makadirio hayo, ikibidi utupe kazi tukufanyie kwa bei ya kawaida na kwa ubora .

UVIMO mawasiliano
0753961896
0629361896
0753927572- wasap
 
Unahitaji board 25 (7×4 ft each)na mikanda kama 40 (7 ft each) bei inategemea ulipo
 
Kaka tuwasilia ili ofisi ya UVIMO ikiwa ni umoja wa mafundi ujezi wakupe makadirio hayo, ikibidi utupe kazi tukufanyie kwa bei ya kawaida na kwa ubora .

UVIMO mawasiliano
0753961896
0629361896
0753927572- wasap
Ok. kaka siku nikianza nitakucheki kuangalia bei zako zimesimamaje. Hope upo Dar.
 
Ninepiga gypsum 2 rooms za nyumba ya nyuma: kuanzia blundering, kupiga gypsum, mikanda, na kuvipiga skimming na rangi (rangi ya maji nyeupe then cream) aisee milioni moja imeisha.
 
Samahani Mkuu. Ulifanikiwa kutumia gypsum board ngapi katika Site yako? Na gharama kwa moja inauzwaje? Naomba kufahamu maana na mimi natarajia kuzifunga sio muda mrefu na specification za nyumba yangu naona zinaendana kiasi na yako
 
Tusaidiane pia makadirio ya bei za kufunga board. Inafungwa kwa room au kwa board? Gharama zikoje roughly?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…