Ninaomba mnieleweshe kuhusu ujenzi wa mashimo ya maji taka (Septic tanks) hapo Jijini Mbeya huwa mnayajengea ndani kwa kutumia nini Kati ya vifuatavyo:
1) Mawe
2) Tofali za kuchoma
3) Tofali za saruji
Msaada Tafadhali.Nimeomba wenyeji wa Mbeya mnisaidie kwa sababu nyie ni wazoefu wa hasa udongo wa MBEYA ambao niko ninaufanyia utafiti!Utakaponitajia kimojawapo ya hivyo nilivyotaja ninaomba na sababu kulingana na ujuavyo!
Karibuni kwa majibu!
1) Mawe
2) Tofali za kuchoma
3) Tofali za saruji
Msaada Tafadhali.Nimeomba wenyeji wa Mbeya mnisaidie kwa sababu nyie ni wazoefu wa hasa udongo wa MBEYA ambao niko ninaufanyia utafiti!Utakaponitajia kimojawapo ya hivyo nilivyotaja ninaomba na sababu kulingana na ujuavyo!
Karibuni kwa majibu!