Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa bro naomba mawasiliano yake jamaa na mimi anipatie na application yake niko tayari kulipia hiyo 3k tafadhali sanaNmeitumia mwaka uliopita na ilikuwa poa sana ila saiz nlilipa 3000 mpka Leo password [emoji360] sijapewa ila wakikupa tu password bonge la app yaani utainjoi
Kulipia sio issues sema saiz password ndio wanazingua zingua sijajua kwannPoa bro naomba mawasiliano yake jamaa na mimi anipatie na application yake niko tayari kulipia hiyo 3k tafadhali sana
Kiongozi naomba nitumie link yakeNmeitumia mwaka uliopita na ilikuwa poa sana ila saiz nlilipa 3000 mpka Leo password [emoji360] sijapewa ila wakikupa tu password bonge la app yaani utainjoi
Naomba nitumie link ya app yao. Nilikuwa nayo nikaifuta by mistakeKulipia sio issues sema saiz password ndio wanazingua zingua sijajua kwann