Salaam wanajamvi,
Kuna project imeanzıshwa na benki ya posta ikılenga kusaidia vikundi kwa kutoa mikopo mbalimbali.Watu wanahimizwa kuunda vyenye ıdadı ya watu isiopungua 8 na isiyozidi 30.Vıkundi hvyo vinasajıliwa na kupewa mafunzo na benki kwa kila wiki mara 1 na kwa muda wa miezi 3.
Ada ya usajili na mafunzo ni 380000/-.Baada ya hapo wanakikundi wanatakiwa kufungua akaunti benki ya posta.Akaunti hyo itakuwa ıkilipiwa shılingi 30000/- kila mwezi.Baada ya hapo wanakikundi wanatakiwa kukutana kila wiki warau mara 1, na katika makutano hayo, kila mwanakikundi atatakiwa kununua hisa warau 5 ambapo hisa inauzwa sh 2000.
Mbeleni kila mwanakikundi anaweza kunufaika na mkopo binafsi ama wa kikundi.Mıkopo binafsi inaweza kuwa nyumba au cash na marejesho yataambatana na riba ya 10%.Ni riba hyohyo itatozwa endapo mkopo utatolewa kwa kikundi.Mkopaji anaruhusiwa kukopa mara 3 ya thamani ya hisa alizonazo. Uelewa wangu umeishıa hapo.
Naomba kujuzwa kama hiyo 10% inayotozwa kama riba kwenye mikopo itakuwa ni mali ya benki au itagawanywa ili kiasi kiende benki na kingne kiwekwe kwenye akaunti ya kikundi?
Tafadhali.
Kuna project imeanzıshwa na benki ya posta ikılenga kusaidia vikundi kwa kutoa mikopo mbalimbali.Watu wanahimizwa kuunda vyenye ıdadı ya watu isiopungua 8 na isiyozidi 30.Vıkundi hvyo vinasajıliwa na kupewa mafunzo na benki kwa kila wiki mara 1 na kwa muda wa miezi 3.
Ada ya usajili na mafunzo ni 380000/-.Baada ya hapo wanakikundi wanatakiwa kufungua akaunti benki ya posta.Akaunti hyo itakuwa ıkilipiwa shılingi 30000/- kila mwezi.Baada ya hapo wanakikundi wanatakiwa kukutana kila wiki warau mara 1, na katika makutano hayo, kila mwanakikundi atatakiwa kununua hisa warau 5 ambapo hisa inauzwa sh 2000.
Mbeleni kila mwanakikundi anaweza kunufaika na mkopo binafsi ama wa kikundi.Mıkopo binafsi inaweza kuwa nyumba au cash na marejesho yataambatana na riba ya 10%.Ni riba hyohyo itatozwa endapo mkopo utatolewa kwa kikundi.Mkopaji anaruhusiwa kukopa mara 3 ya thamani ya hisa alizonazo. Uelewa wangu umeishıa hapo.
Naomba kujuzwa kama hiyo 10% inayotozwa kama riba kwenye mikopo itakuwa ni mali ya benki au itagawanywa ili kiasi kiende benki na kingne kiwekwe kwenye akaunti ya kikundi?
Tafadhali.