Kwanza kabisa Inatakiwa uwe umekaa tanzania kihalali zaidi ya miaka 10 na bila kuwa mashtaka mahakani au polisi. Na ndio mengine yatafuata
Umeona yulemzungu anavimbishia halmashauri ya Kinondoni,Kazuia Kamati ya Bunge raia gani huy yuko juu ya sheria nchi hii bwana ni zaidi ya ujuavyo
Kwa anaejua taratibu za
kupata uraia wa Tanzania.. Jee kujua kiswahili sio sifa kuu ya
kutunukiwa uraia wa nchi yetu tukufu..?