Naomba kujuzwa hili

Mulhat Mpunga

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
27,256
Reaction score
16,317
Habari dr na wana jamvi,nataka kujua umri
wa mimba,mara ya mwisho kuona ile rangi
kwa "akinamama"ilkuwa tarehe 6.9.2011
je mimba hii inaumri gani?
 
Lol kumbe hakuna madaktari wa ukweli
humu!?
Dr dr dr kama nanhii
khaaaaaa
ngoja nkatafte kalma nzila anipe msaada make gt wanashidwa kunsaidia
 
Acha ukali dada Flora ila mimba yako ina wiki 18 ni sawa na miezi 4 na wiki 2, Vipi unaonyesha bado haujaanza Clinic, Nakushauri kwa afya ya mama na mtoto uanze mara moja kwenda Clinic.
 
acha ukali dada flora ila mimba yako ina wiki 18 ni sawa na miezi 4 na wiki 2, vipi unaonyesha bado haujaanza clinic, nakushauri kwa afya ya mama na mtoto uanze mara moja kwenda clinic.

kheeee yaan mwez wa 6 mpaka sasa ni wiki 18 tuu lahaula wa lakwata,
 
Unaweza kuja Clinic kwangu kesho asubuhi pale magomeni nijaribu kupima vizuri
 
Mimba yako imetunga tar 20-22 mwezi wa tisa kwa hyo mpaka sasa ina takriban miezi minne kasoro wiki moja hence ina wiki 15,kwa maelezo zaidi unaweza kuni-pm
 
mimba yako imetunga tar 20-22 mwezi wa tisa kwa hyo mpaka sasa ina takriban miezi minne kasoro wiki moja hence ina wiki 15,kwa maelezo zaidi unaweza kuni-pm

khaaaaa ngoja nende
hospital humu hakuna
docta wala mkunga
iv wasted ma time chawoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…