Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,962
- 1,618
..."inarudishwa baada ya hukumu kutolewa,Dhamana huwa inarudishwa baada ya hukumu kutolewa.
Ikitokea mtuhumiwa amekimbia au kutofika mahakamani dhamana hiyo huweza kubatilishwa na mtuhumiwa kufunguliwa kesi nyingine ya kutokuhudhuria mahakamani.
Yeah haijalishi. Dhamani huwa ni 'bond' inayowekwa kati ya mahakama na mtuhumiwa. Hii husaidia kumfanya mtuhumiwa asiikimbie mahakana na pia kumweka mtuhumiwa huru wakati kesi ikiendelea...."inarudishwa baada ya hukumu kutolewa,
Je zinarudishwa bila kujali ni guilty or not guilty!?
Nimekuelewa vizuri Sana,Yeah haijalishi. Dhamani huwa ni 'bond' inayowekwa kati ya mahakama na mtuhumiwa. Hii husaidia kumweka mtuhumiwa huru wakati kesi ikiendelea.
Kama kesi ikiisha na hukumu ikapitishwa akawa guilty ina maana ata serve sentence atakayopewa au kama sio guilty basi ataachiwa huru.
Ina any case bond lazima irudishwe kwakuwa haihusiani na mtuhumiwa kukutwa guilty or not guilty. Bond ilokuwa inamfanya tu asiikimbie mahakama na pia awe huru kufanya mambo yake mpaka hapo hukumu itakapopitishwa.