Naomba kujuzwa jinsi ya kutengeneza sabuni za masink ya choo

Naomba kujuzwa jinsi ya kutengeneza sabuni za masink ya choo

nani mbuzi

Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
79
Reaction score
11
Kuna wanaojua kutengeneza hayo material au sabuni za masinki na vyoo. watusaidie namna ya kutengeneza tuweke mazingira safi.

Shukeni formulae nawategemea sana wale wa Dar, Mbeya, Kigoma, mnajua mambo hayo tufundisheni
 
Back
Top Bottom