inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Wadau salam. Naomba kujuzwa kwa undani iuhusu engine ya K12 B, mojawapo ya gari inayotumia engine hii ni suzuli swift second generation
Nakaribisha elimu, Maoni na ushauri.
Nakaribisha elimu, Maoni na ushauri.