NAOMBA KUJUZWA JUU YA MISHAHARA YA WATUMISHI WA UMMA

Samcezar

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
13,095
Reaction score
22,731
Habarini watukufu. Ningependa kufahamishwa juu ya uwazi wa mishahara na mali za watumishi wa uma, ikiwemo raisi, makamo wake, mawaziri na manaibu, makatibu wizara, wabunge na wengineo ,kada zote 4 ofisi ya *

Je, kuna sheria ya wazi kabisa inayoweka bayana kuwa viongozi, watendaji, na wajiriwa wote wa ofisi za uma mishahara yao na wanachokipata kuwekwa wazi....?!
Naomba kuelimishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…