Naomba kujuzwa kama IFM na IAA ni vyuo vya umma au binafsi?

Naomba kujuzwa kama IFM na IAA ni vyuo vya umma au binafsi?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Wadau,kutokana na ada pamoja na michango mingne inayotozwa na hvo vyuo imenifanya niulze kama hvo vyuo ni vya umma au binafsi,na kuna nin cha ziada wanafunzi wanachokipata hapo hadi watoze ada kubwa kiasi hcho?ntatolea mfano IAA,ada kwa mwaka ni 1,500,000tsh,hostel 400,000,kuna 250,000 ambayo hawajaeleza ni ya nin,hapo bado mtu hajala wala hajatoa copy.wanatuumizia wadogo zetu eti jaman.
 
Kwani dogo hakuiona udom? Muache aenyeke sasa.Nyio ndio walewale mnataka madogo eti wapige vyuo binafsi wakati mnajijua home choka kwa kutegemea heslb iwakingie vifua,sasa hayo ndio matokeo ya ubishi,Na taarifa isiyo rasmi hiyo ada wanampango wa kuiongeza to tsh 1.7 mn kwenye ishu za sayansi.
 
Kwani dogo hakuiona udom? Muache aenyeke sasa.Nyio ndio walewale mnataka madogo eti wapige vyuo binafsi wakati mnajijua home choka kwa kutegemea heslb iwakingie vifua,sasa hayo ndio matokeo ya ubishi,Na taarifa isiyo rasmi hiyo ada wanampango wa kuiongeza to tsh 1.7 mn kwenye ishu za sayansi.

kwan ye si amepelekwa na hawa wanaojiita cjui Tcu jaman?
 
Hivi vyuo viko chini ya wizara ya fedha na hakuna kitu special chochote kinachotolewa kweli hua kina michango mingine hua haieleweki hivi ndio hivo ushapangiwa ndio nchi yetu mkuu!
 
kwan ye si amepelekwa na hawa wanaojiita cjui Tcu jaman?
Unataka kusema hakuomba vyuo hivyo? Ndio maana kuna website na prospectus za Vyuo ungetumia vizuri kabla ya ku apply yasingekukuta hayo. Halafu na wewe kama msomi role yako ilikuwa nini wakati wa application? Kwani usingeshauri aombe vyuo ambavyo ada ni nafuu?
 
Unataka kusema hakuomba vyuo hivyo? Ndio maana kuna website na prospectus za Vyuo ungetumia vizuri kabla ya ku apply yasingekukuta hayo. Halafu na wewe kama msomi role yako ilikuwa nini wakati wa application? Kwani usingeshauri aombe vyuo ambavyo ada ni nafuu?

kilikua chuo cha mwisho ktk machaguo yake yote 8 na hakujua ka angerushwa huko..
 
kilikua chuo cha mwisho ktk machaguo yake yote 8 na hakujua ka angerushwa huko..

mshauri dogo wa-organise migomo wateremshiwe ada hiyo,Mwambie yeye ndio hawe kinara maana watoto wa hivyo vyuo IFM na IAA wengi waoga waoga.
 
mshauri dogo wa-organise migomo wateremshiwe ada hiyo,Mwambie yeye ndio hawe kinara maana watoto wa hivyo vyuo IFM na IAA wengi waoga waoga.

dogo lenyewe la kike.
 
Back
Top Bottom