Kuna mambo mengi ya kuhusisha kabla ya kuamua ni bima ipi ujisajili nayo, hii inatokana na kama wewe ni mtu wa mjini au unakuwa pia muda mwingi pembeni mwa nchi (peripheral).
Kwangu ni vizuri kuwazia:
1: Mtandao mzuri (bima imetawanyika/kitoa huduma kwa kiasi gani hapa nchini).
2: Uimara(uwezo wa kufanya malipo ya gharama kubwa).
3: Exceptions/Limitations chache(mipaka katika matumizi).
1: NHIF Bima kubwa ina yote hapo juu.
2: NHIF Bima ndogo ina namba 3 zaidi hapo juu pamoja na kuwa na 1 na 2.
3: Strategy/Jubilee (kubwa) zina 2 na 3 , ila hazina 1 hapo juu.