Naomba kujuzwa kuhusu academic transcript

Naomba kujuzwa kuhusu academic transcript

Antelius

Member
Joined
Nov 14, 2024
Posts
6
Reaction score
2
Wakuu za leo naomba kuuliza kwa idara ya Afya kama umemaliza ngazi ya cheti unaweza kuomba academic transcript baada ya matokeo kutoka au inatakiwa ukae mda gani ndo uapply iyo academic transcript na je kama umesajiliwa na chuo kuendelea ngazi ya diploma unaweza kuomba academic transcript ya mwaka uliomaliza ?
 
Wakuu za leo naomba kuuliza kwa idara ya Afya kama umemaliza ngazi ya cheti unaweza kuomba academic transcript baada ya matokeo kutoka au inatakiwa ukae mda gani ndo uapply iyo academic transcript na je kama umesajiliwa na chuo kuendelea ngazi ya diploma unaweza kuomba academic transcript ya mwaka uliomaliza ?
Wewe chuo chako hakina Dean of faculties. Hakuna prospectors kwann huulizi huko? Haya mambo yanategemea chuo na chuo bhana mnatuchosha
 
Back
Top Bottom