Dkt Guston
Senior Member
- Feb 28, 2022
- 105
- 119
Kuna bidhaa nyingi hata decoration product kama una nia ya Kunisaidia kusafirisha nisaidie kunipa maarifa kama unataka kuni judge biashara yangu nafikiri hilo halikuhusu kabisaYani usafirishe nguo, sendoz na vifaa vya simu kutoka Bongo kwenda mamtoni?
Again, Reset your mental settings.Kuna bidhaa nying hta decoration product kama una nia ya Kunisaidia kusafilisha nisaidie kunipa maarifa kama unataka kuni judge biashara yang nafkili hilo halikuhusu kabisa
Haya pita HIV[emoji117]Again, Reset your mental settings.
Aende kwa makini!mkuu pambania wacheki wakenya watakupa connection,ila nadhani export huwa inabagua aina ya bidhaa...
😂😂😂Yani usafirishe nguo, sendoz na vifaa vya simu kutoka Bongo kwenda mamtoni?
Reset your mental settings
Spesho au mitumba?unatoa nguo bongo unapeleka mamtoni?
Inategemea na aina ya nguoYani usafirishe nguo, sendoz na vifaa vya simu kutoka Bongo kwenda mamtoni?
Reset your mental settings
Hata mimi nashangaa sendo za kimasai, bangili za shanga, neckles za kitamaduni, vinyago na bidhaa nyingi zitakazo kuwa adimu ulaya Ila watu hawajui MTU umewaza nini ila ni ku hate tuKwanini mshangae kupeleka phone accessories na sendo marekan?
Kuna phone accessories za simu kama makava yametengenezwa kiasili ukipeleka huko yatauzika tu
Kuna sendo za kimasai je huko huwezi uza?
Acha tu kuna vitu kama viatu vya kimasai, Ulaya havipo mtu ukitengeneza online store yako vizuri ukafanya promotion kupitia Facebook ads, tiktok ads, Instagram ads kuwafikia wateja wa nje mbona unapata wateja ila watu hawajui MTU umewaza nini ila chuki tuDah baadhi ya wabongo wengi tunakatishana tamaa sijui kwa nn, acha niweke dhana roho mbaya ndio inayotutesa.
Hiyo namba ya simu mbona haraka sana, unaweza ukawa unamsaidia wazo mtu ukimpigia tu wewe ndo unaenda kutapeliwa kuweni makiniHabari wana jamii forums
Naomba kujuzwa na kupewa muongozo kuhusu biashara hii ya kusafilisha bidhaa kutoka Tanzania kwenda marekani,Canada,England na south Africa
Naomba kupewa muongozo jinsi ya kusafilisha bidhaa kutoka Tanzania kwenda nchi hizi bidhaa zitachukua mda gani hadi kuwafikia wateja wangu,usafili gani ni nafuu na hauna gharama kubwa na jinsi ya jinsi ya kusafilisha bidhaa zangu
Kwa anayefahamu naomba anijulishe na anipatie muongozo sahihi namba zangu +255759952554
Natumaini mtanisaidie wakubwa
Kwa nini utapeliwe kwani nafanya promotion ya bidhaa hapaHiyo namba yasimu mbona halaka sana, unaweza ukawa unamsaidia wazo mtu ukimpigia tu wewe ndo unaenda kutapeliwa kuweni makini