Naomba kujuzwa kuhusu biashara hii yenye utajiri

Mimi nasubiria mmea uhalalishwe, nianze kusafirisha
 
Mtoa mada ni jinsia "ke" mwenye hasira za hapa na pale
 
Kwenye usafirishaji wa bidhaa tok tz kwenye njia inategemea na aina ya bidhaa na bei ama wateja ulowalenga wana nunuaje
 
Kuna platform moja I think by the name AGOA Google hyo kwa export za Us ndio inasaidia kwa haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…