virginity
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 898
- 970
Hello!
Nipo Mwanza nahitaji kuuza pazia japo sio mara yangu ya kwanza nimekua nikiziuza, kwahapa Mwanza nachukulia 20000 pazia Mbili.
Natamani kujua kwa Dar Bei inawezakua sh ngapi? Maana wengi wanachukulia Dar lakini ukiwauliza sio wawazi naombeni msaada nina mtaji wa laki6 nahitaji nianzie hii
Nipo Mwanza nahitaji kuuza pazia japo sio mara yangu ya kwanza nimekua nikiziuza, kwahapa Mwanza nachukulia 20000 pazia Mbili.
Natamani kujua kwa Dar Bei inawezakua sh ngapi? Maana wengi wanachukulia Dar lakini ukiwauliza sio wawazi naombeni msaada nina mtaji wa laki6 nahitaji nianzie hii