Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Kilitime

Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Kilitime

A.Ngindo

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
276
Reaction score
101
Habarini wadau,

Poleni na purukushani za tozo na mengineyo, Naombeni mnijuze ubora na udhaifu wa gari tajwa hapo juu nipo katika harakati za kutafuta gari la juu yani (suv) na kwa budget niliyo nayo naona kama hili litanifaa.

Matumizi yake yatakua ya kila siku yani itakua inatoka bunju tu kariakoo na ocassionaly itaenda mikoani Mwanza na Musoma kuona familia. Naomba kujua upatikanaji wake wa vipuri na uimara wake katika njia za rough road na milimani maana nimeona lina 4wd

BF507291_94cdd5.jpg
 
Ni Gari nzuri kwa wastani wake Toyota siku zote hazina tabu kwenye Vipuri
 
Habarini wadau,poleni na purukushani za tozo na mengineyo,Naombeni mnijuze ubora na udhaifu wa gari tajwa hapo juu nipo katika harakati za kutafuta gari la juu yani (suv) na kwa budget niliyo nayo naona kama hili litanifaa.matumizi yake yatakua ya kila siku yani itakua inatoka bunju tu kariakoo na ocassionaly itaenda mikoani Mwanza na Musoma kuona familia.Naomba kujua upatikanaji wake wa vipuri na uimara wake katika njia za rough road na milimani maana nimeona lina 4wd

View attachment 1926890
Huvi jina halisi la hizi gari ni lipi? Maana kill time naona kama sio lake

Kuhusu ubora ni gari nzuri ila chukua yenye engine ya VVTI hasa ukipa 1790cc hata katika mafuta haita kusumbua sana
 
Huvi jina halisi la hizi gari ni lipi? Maana kill time naona kama sio lake

Kuhusu ubora ni gari nzuri ila chukua yenye engine ya VVTI hasa ukipa 1790cc hata katika mafuta haita kusumbua sana

Jina halisi ni Toyota Rav 4 Second Generation.

First Generation ndo watu wanaziita Old

Third Generation ndio miss Tanzania.

4th generation bado hawajaibatiza maana hainunuliki bado.
 
Huvi jina halisi la hizi gari ni lipi? Maana kill time naona kama sio lake

Kuhusu ubora ni gari nzuri ila chukua yenye engine ya VVTI hasa ukipa 1790cc hata katika mafuta haita kusumbua sana

Pia pia kuanzia Rav 4 second generation kama hiyo anayoitaja mtoa maada engine zake ni VVTi.

Labda kama unazungumzia D4 and non D4
 
Ila ni nyepesi sana ukikimbia kama barabara haijatulia inaweza kukutoa njee (kama pale chalinze kipindi cha nyuma zile big G)
 
Ila ni nyepesi sana ukikimbia kama barabara haijatulia inaweza kukutoa njee (kama pale chalinze kipindi cha nyuma zile big G)
Na mwendo wake katika barabara za vumbi na milima uko vp chief, inastahimili ?
 
Habarini wadau,

Poleni na purukushani za tozo na mengineyo, Naombeni mnijuze ubora na udhaifu wa gari tajwa hapo juu nipo katika harakati za kutafuta gari la juu yani (suv) na kwa budget niliyo nayo naona kama hili litanifaa.

Matumizi yake yatakua ya kila siku yani itakua inatoka bunju tu kariakoo na ocassionaly itaenda mikoani Mwanza na Musoma kuona familia. Naomba kujua upatikanaji wake wa vipuri na uimara wake katika njia za rough road na milimani maana nimeona lina 4wd

View attachment 1926890
Rav 4 second generation(kill time)
Ni gari nzuri mno hasa kwenye stability na ubebaji mizigo kwenye space.
Mafua pia inakula vizuru around 11.5 to 13 km/l hasa ile yenye 1.8 cc.
But anagalizo..
Ikichagua hii gari
Usichukue yenye engine ya 1az
Rarudia kama ni engine ya 1az usichukue.

Tafadhal consider engine ya 1zz
Hii ndo imekaa sawa.

Tatizo lingine kwenye hii gari ni control box huwa inasumbua kama haikuwai kubadilishwa.

Tatizo kingine kubwa ni tege miguu ya nyuma
Ambayo upelekea tires kuisha mapema

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Huvi jina halisi la hizi gari ni lipi? Maana kill time naona kama sio lake

Kuhusu ubora ni gari nzuri ila chukua yenye engine ya VVTI hasa ukipa 1790cc hata katika mafuta haita kusumbua sana
Mafuta? Hivi Kuna Gari isoyotumia mafuta? Kwa foleni za Dar mafuta yatatumika tu
 
Wadau suzuki escudo ya 2010 na Rav4 2010 ipi the best
 
Back
Top Bottom