Naomba kujuzwa kuhusu haya mafuta (Olive)

Naomba kujuzwa kuhusu haya mafuta (Olive)

Ncherry1

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2016
Posts
2,181
Reaction score
2,250
Et jaman haya mafuta napaka wakat gan imean wakat wa kuosha au napakaa kama mafuta ya kawaida ya nywele nmeambiwa yanasaidia nywele
51d86b7438e89f000c5fb5f15bf30971.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nina natural hairs....nikiosha napaka kwenye ngozi..kabla sijasuka. Yamenisaidia kupunguza kuwashwa na mba.
 
Mimi nina natural hairs....nikiosha napaka kwenye ngozi..kabla sijasuka. Yamenisaidia kupunguza kuwashwa na mba.
ni haya haya ya kawaida? mi hua yananiwasha sana au ni fake ninayotumia?
 
Back
Top Bottom