Ncherry1 JF-Expert Member Joined Jun 15, 2016 Posts 2,181 Reaction score 2,250 Jul 24, 2017 #1 Et jaman haya mafuta napaka wakat gan imean wakat wa kuosha au napakaa kama mafuta ya kawaida ya nywele nmeambiwa yanasaidia nywele Sent using Jamii Forums mobile app
Et jaman haya mafuta napaka wakat gan imean wakat wa kuosha au napakaa kama mafuta ya kawaida ya nywele nmeambiwa yanasaidia nywele Sent using Jamii Forums mobile app
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Jul 24, 2017 #2 Geuza Chupa nyuma itakuwa na maelezo ya matumizi Sent using Jamii Forums mobile app
mgangawaukoo JF-Expert Member Joined May 8, 2016 Posts 2,183 Reaction score 2,390 Jul 24, 2017 #3 Wakati wa kulala si unajua nywele zinakuwa usiku.
Rylee JF-Expert Member Joined Jan 31, 2015 Posts 542 Reaction score 1,015 Jul 27, 2017 #4 Mimi nina natural hairs....nikiosha napaka kwenye ngozi..kabla sijasuka. Yamenisaidia kupunguza kuwashwa na mba.
Mimi nina natural hairs....nikiosha napaka kwenye ngozi..kabla sijasuka. Yamenisaidia kupunguza kuwashwa na mba.
Hunyu JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 4,774 Reaction score 4,327 Jul 27, 2017 #5 Paka kutwa mara tatu
Fridah2012 Member Joined Jun 6, 2017 Posts 6 Reaction score 3 Aug 21, 2017 #6 Ni mazuri kwa natural hairs unapaka kwenye ngozi Sent using Jamii Forums mobile app
K KOTINA Member Joined Aug 14, 2017 Posts 87 Reaction score 137 Aug 22, 2017 #7 vio_vio said: Mimi nina natural hairs....nikiosha napaka kwenye ngozi..kabla sijasuka. Yamenisaidia kupunguza kuwashwa na mba. Click to expand... ni haya haya ya kawaida? mi hua yananiwasha sana au ni fake ninayotumia?
vio_vio said: Mimi nina natural hairs....nikiosha napaka kwenye ngozi..kabla sijasuka. Yamenisaidia kupunguza kuwashwa na mba. Click to expand... ni haya haya ya kawaida? mi hua yananiwasha sana au ni fake ninayotumia?