Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha mtama na soko lake

Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha mtama na soko lake

MWANAWIMA

Senior Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
111
Reaction score
70
Wanajamvi naomba kujuzwa juu ya KILIMO CHA MTAMA tangu maandalizi ya shamba hadi uvumaji kwa hekari. Maeneo gani hasa KILIMO hili ni kizuri, masoko na usimamizi.

Karibuni wataalamu mtusaidie
 
Back
Top Bottom