Naomba kujuzwa kuhusu Kozi ya Nursing CUHAS

Naomba kujuzwa kuhusu Kozi ya Nursing CUHAS

Samahani mtoa mada nidandie uzi wako,mdogo wangu mimi amepata MD hapo hapo Bugando hivi mkopo anapata 100% au wanatoa kiasi gani wakuu kama kuna mwenye taarifa anisaidie tafadhali. Barikiweni wana wa Mungu!
 
Inategemea umesoma shule gani advance na olevel na mkopo wa asilimia 100 Bugando haimaniishi unalipiwa kila kitu kuna percent unaongeza
 
Samahani mtoa mada nidandie uzi wako, mimi nimepata MD hapo hapo Bugando hivi mkopo napata 100% au wanatoa kiasi gani wakuu kama kuna mwenye taarifa anisaidie tafadhali. Barikiweni wana wa Mungu!
Hongera kwanza kwa kuchaguliwa kusoma MD! Karibu tusongeshe gurudumu la kujiandaa kutibu watu
Tukirud kwenye concern Yako, ada ya MD kwa Bugando ni around 6M+ (na ni sawa kwa course zote, uwe umechaguliwa MD, nursing, radiology au medical lab).
Heslb wakikupa 100% ni sawa na 3.1M kwahyo nyingine utaongezea mwenyewe
Conditions na priority za kupata mkopo itategemea na mwaka wenyewe sasa.
Kiufupi tu, mzazi ajiandae
Kusoma private sio kazi rahisi kama unatokea familia ya kuunga unga.
 
Je, unaweza kusoma nursing bugando ukipata mkopo asilimia mia moja, na ukamdu ukiwa hauna kipato chochote ukizingatia kwamba Bugando ni private?

Naomba msaada wakuu
Nadhan reply ya jamaa aliepata MD inakuhusu pia
Heslb watakupa ada ya 3.1M kama utapata mkopo asilimia 100
Lakini pia watakupa 3M nyingine kwa ajili ya meals and accomodations (boom)
Ada ya Bugando ni around 6M
Kwahyo hata kama ukiamua uchukue na boom lako bado haitoshi, kikubwa mzazi ajiandae
 
Je, unaweza kusoma nursing bugando ukipata mkopo asilimia mia moja, na ukamdu ukiwa hauna kipato chochote ukizingatia kwamba Bugando ni private?

Naomba msaada wakuu
Je, unaweza kusoma nursing bugando ukipata mkopo asilimia mia moja, na ukamdu ukiwa hauna kipato chochote ukizingatia kwamba Bugando ni private?

Naomba msaada wakuu
Concern Yako ingekua nyepesi kama ungekua umepata st John's university
Pale ada Yao ni around 2.8M ambayo moja kwa moja helsb angekulipia
 
Hongera kwanza kwa kuchaguliwa kusoma MD! Karibu tusongeshe gurudumu la kujiandaa kutibu watu
Tukirud kwenye concern Yako, ada ya MD kwa Bugando ni around 6M+ (na ni sawa kwa course zote, uwe umechaguliwa MD, nursing, radiology au medical lab).
Heslb wakikupa 100% ni sawa na 3.1M kwahyo nyingine utaongezea mwenyewe
Conditions na priority za kupata mkopo itategemea na mwaka wenyewe sasa.
Kiufupi tu, mzazi ajiandae
Kusoma private sio kazi rahisi kama unatokea familia ya kuunga unga.
Nashukuru sana kwa ufafanuzi mkuu. Ubarikiwe
 
Na

Na vp pale st.john nsi mtu kama wa 1.9 awezi chukuliwa nursing
Mambo ya admission hutegemea ufaulu wa mwaka huo
Siwezi kuwa na majibu ya moja kwa moja kwa sababu sijajua hali ya ushindani ilivyo
Labda uombe tu halafu uone
 
Back
Top Bottom