Ahsante Sana mkuu!hazina magonjwa magonjwa ya kijinga?Nimeendesha Automatic so MT nisiwe muongo siijui.
Ila Sport zina suspension ngumu kinoma kwenye rough road hauinjoi.
Ni kajiwe aisee.
wwka picha
Upatikanaji wake ni washida Sana?Hilo tolea spare zake kichefuchefu
Unasumbua sana