Naomba kujuzwa kuhusu Toyota Cami

Vp kuhusu mark x na legacy 2007
 
Hivi Cami ni aka ya Terios???..Mbona body zinatofautiana ya Cami ni kubwa kuliko ya Terios?
Terios kuna 650cc na 1300cc hizi pia zinatofautiana umbo hako kenye 650 nikadogo kiliko hiyo ya 1300 hali kadharika na cami zipo za 650cc na 1300 ila ukiiona cami na terios ya 650cc zinafanana sana hali kadhalika na hizo za 1300cc kadhalika.
 
Terios kuna 650cc na 1300cc hizi pia zinatofautiana umbo hako kenye 650 nikadogo kiliko hiyo ya 1300 hali kadharika na cami zipo za 650cc na 1300 ila ukiiona cami na terios ya 650cc zinafanana sana hali kadhalika na hizo za 1300cc kadhalika.
Mkuu hakuna cami wala terrios yenye cc 650.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…