Mastermind Hero
New Member
- Oct 22, 2020
- 2
- 2
Samahani wadau, najua humu kuna wataalamu wa masuala ya magari. Ka.a mada inavyojieleza hapo juu.
Nina mpango wa kununua gari ndogo "sedan" na katika pitapita zangu kweye page ya Be Forward, nimekutana na gari aina ya JAGUAR XF ya mwaka 2011 na bei yake mpaka kufika bandari ya Dar es Salaam.
Sasa katika mazungumzo ya hapa na pale na wadau wa magari mitaani, nimeambiwa kuwa nisijaribu kunujua magari hayo ya Jaguar kwani upatikanaji wa spea zake, mafundi wake na vipuri vingine ni mdogo sana na itanicost sana. Nimeambiwa spea zake ni gharama sana hazipatikani hapa Bongo.
Sasa ndugu zangu, naombeni ushauri hapa, maana wananiambia kuliko Jaguar, bora ninunue Toyota crown maana itanisumbua.
Lakini binafsi ninapenda sana hili gari la JAGUAR XF, naomba kwa mwenye uzoefu na magari haya, spea zake, gereji na mafundi wake wazuri anipe japo dokezo maana nimeshakatishwa tamaa juu ya gari hili la ndoto zangu [emoji58][emoji53][emoji53].
Nina mpango wa kununua gari ndogo "sedan" na katika pitapita zangu kweye page ya Be Forward, nimekutana na gari aina ya JAGUAR XF ya mwaka 2011 na bei yake mpaka kufika bandari ya Dar es Salaam.
Sasa katika mazungumzo ya hapa na pale na wadau wa magari mitaani, nimeambiwa kuwa nisijaribu kunujua magari hayo ya Jaguar kwani upatikanaji wa spea zake, mafundi wake na vipuri vingine ni mdogo sana na itanicost sana. Nimeambiwa spea zake ni gharama sana hazipatikani hapa Bongo.
Sasa ndugu zangu, naombeni ushauri hapa, maana wananiambia kuliko Jaguar, bora ninunue Toyota crown maana itanisumbua.
Lakini binafsi ninapenda sana hili gari la JAGUAR XF, naomba kwa mwenye uzoefu na magari haya, spea zake, gereji na mafundi wake wazuri anipe japo dokezo maana nimeshakatishwa tamaa juu ya gari hili la ndoto zangu [emoji58][emoji53][emoji53].