Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 817
- 2,180
Wadau anaejua taratibu za ushuru wa bidhaa pale bandarini kama umenunua vitu zanzibar inakiwaje anijuze. Kama wanachaji kwa asilimia za bei ya bidhaa au wanakuangalia unafananaje ndio wanakuchaji.
Nataka nikafanye shopping huko naona vitu bei imekaa poa.
Nataka nikafanye shopping huko naona vitu bei imekaa poa.