Naomba kujuzwa kuhusu utoaji notice kwa wenye nyumba

Naomba kujuzwa kuhusu utoaji notice kwa wenye nyumba

Joined
Apr 20, 2022
Posts
23
Reaction score
31
Msaada, ni wakati gani unaweza kupewa notice na mwenye nyumba ikiwa umechelewa kulipa kodi yake kwa mwezi mmoja? Na ni condition gani anatakiwa afuate kukupa hiyo notice? Asanteni wakuu naamini nitapata majibu sahihi hapa.
 
Miezi 3 kama sijakosea, pia ninahisi inategemea makubaliano yenu na mwenye nyumba.

Acha wabobezi waje watuongoze katika hilo
 
Msaada, ni wakati gani unaweza kupewa notice na mwenye nyumba ikiwa umechelewa kulipa kodi yake kwa mwezi mmoja? Na ni condition gani anatakiwa afuate kukupa hiyo notice? Asanteni wakuu naamini nitapata majibu sahihi hapa.
Upewe notice ya nini wakati makubaliano yenu yameisha, hakuna notice tena hapo maana muda wako umeisha inatakiwa kurenew mkataba( makubaliano).

Kuendelea kukaa inategemea makubaliano yako wewe na mwenye nyumba. Ila hakuna haja ya notice ili kukuondoa.

NB: Notice inatolewa ikiwa bado mkataba unaishi nasio ambapo hakuna mkataba.
 
Upewe notice ya nini wakati makubaliano yenu yameisha, hakuna notice tena hapo maana muda wako umeisha inatakiwa kurenew mkataba( makubaliano).

Kuendelea kukaa inategemea makubaliano yako wewe na mwenye nyumba. Ila hakuna haja ya notice ili kukuondoa.

NB: Notice inatolewa ikiwa bado mkataba unaishi nasio ambapo hakuna mkataba.
Asante kwa ufafanuzi mzuri
 
Msaada, ni wakati gani unaweza kupewa notice na mwenye nyumba ikiwa umechelewa kulipa kodi yake kwa mwezi mmoja? Na ni condition gani anatakiwa afuate kukupa hiyo notice? Asanteni wakuu naamini nitapata majibu sahihi hapa.
Jukumu lako ni kulipa kodi tu, tena kwa wakati.

Kabla hujapewa Notisi, ni wajibu na uungwana ukaeleze sababu kwanini umechelewa kutekeleza wajibu wako wa kimkataba/makubaliano na ikiwezekana uhaidi kutekeleza jukumu lako hilo.

Kuchelewa kulipa Kodi hakuwezi kutumika kama sababu/an indirect notice kutoka kwa Mpangaji kwenda kwa Mpangishaji...au ni kiashiria kwa Mpangishaji kujiandaa ili akupe Notisi.

Kuchelewa kulipa kodi tena bila taarifa ya awali na sababu za msingi ni ukaidi wa utekelezaji wa masharti ya Upangishaji.
 
Back
Top Bottom