Naomba kujuzwa kwa anayejua muda wa pambano kati Mwakinyo na Julius Indongo

Naomba kujuzwa kwa anayejua muda wa pambano kati Mwakinyo na Julius Indongo

usikumnene

Member
Joined
Apr 23, 2017
Posts
81
Reaction score
108
Wadau wa boxing naomba kujuzwa kwa anayejua muda wa pambano kati Mwakinyo na Julius Indongo. Leo Mwakinyo atakuwa na mtihani mkubwa maana mpinzani wake siyo wa mchezo mchezo.
 
Apigwe tu huyu mdigo,, yani tangu amsemee mbovu icon wa ngumi Africa mashariki na kati Rashidi matumla(snake man) mpaka leo sina hamu nae
 
Siwezi kupoteza muda wangu kumuangalia Mwakinyo.

Hajui ngumi ,maneno mengi kama mtoto wa kike.
 
Saa Sita kamili usiku, imebakia nusu saa mwakinyo apande uwanjani
 
Back
Top Bottom