Naomba kujuzwa kwa wenye ufahamu wa hili.

dada jane

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2011
Posts
565
Reaction score
118
Inakuwaje mtu umepata nafasi ya kwenda chuo kikuu umekidhi vigezo vyote kama muda wa kufanya kazi zaidi ya miaka 3, mwajiri anakuruhusu huku akicomment kuwa utajisomesha na kujigharamia gharama zote ikiwa ni pamoja kujisafirisha wakati wote wa likizo. Ninachojua stahiki yako kama mtumishi wa umma ni pamoja na kusomeshwa kwa kipindi unapokuwa kazini, kutibiwa kipindi cha utumishi nk naomba kusaidiwa..
 
Unafanya kazi wapi serikarini au?
 
Ni haki yako so komaa nao mkubwa.
 
Ni haki yako so komaa nao mkubwa.
Ndugu yangu Kanchi naomba msaada wako. Je kuna waraka wowote ambao unaufahamu utakao nisaidia kusimamia katika hilo. Please.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…