Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ni halali mtumishi wa umma kujisomesha?
Ni halali.Je ni halali mtumishi wa umma kujisomesha?
Ndugu yangu nilikuwa nijirishe kwani kwa kawaida halimashauri au manispaa huwa wanasomesha kwa kukulipia ada na nauli. Sasa nilitaka kujua kama iko ktk taratibu na kanuni za serkali au ni kaufisadi kengine? Kwani huwa inakuwa randamly unaweza ona wengine wanalipwa wengine hawalipwi. Ndio sababu nimeomba mwenye uelewa jambo hilo anifahamishe ilinifuatie kama ni haki yangu.Ulitaka nani akusomeshe kama wewe ndiye ujuwaye umuhimu wa elimu unayoitaka? kuwa mtumishi wa umma haimaanishi kuwa kila elimu utakayo umma lazima ugharamie.
Mchemsho bwana kwa hiyo wewe ufahamu wako uko kwenye mafataki.Fataki anatoa mkopo ndani ya TIA kisha mimba hazina uhakika mpaka kwa DNA