Fisi wa Dar
Member
- Apr 2, 2018
- 69
- 52
Nimejaribu kudadisi wanaonijibu wanasema hawajui, hebu wenye weledi na vitu hivi mnisaidie!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa, nadhani kuanzia mahakama za mkoa au kuu. Lakini kwa nini ngeli?Sio mahakama zote
Pole sana mkuu. Ilikuwa mahakama ya ngazi gani?Kizungu hiki.
We acha tu!
Mbele ya pilato nikahukumiwa kwa kiingereza. Sikusikia vizuri, nikahisi kama amesema nimehukumiwa jela mwaka mmoja. Nusu nidondoke na kuzimia. Kumuuliza msaidizi wake akasema kuwa nimehukumiwa kwa kuwekwa chini ya uangalizi mwaka mmoja na sitakiwi kutenda kosa kama lile.
Hii ilitokea baada ya dereva wangu kusababisha ajali ya gari na mie sikuwa nimezingatia kama ana nyaraka muhimu ikiwepo leseni inayoendana na daraja la gari alilokuwa analiendesha.
Pole sana mkuu. Ilikuwa mahakama ya ngazi gani?
Ni sheria hiyohiyo iliyosema lugha unazo ruhusiwa kutumia mahakamani ni kingereza na kiswahiliSasa, nadhani kuanzia mahakama za mkoa au kuu. Lakini kwa nini ngeli?
OkWilaya. TMK...
Sheria inataka hivyo lakini siyo zote kuanzia Mahakama ya Wilaya kwenda juuNimejaribu kudadisi wanaonijibu wanasema hawajui, hebu wenye weledi na vitu hivi mnisaidie!
OK. Nisaidie ultimate reason behind. Yaani unadhani kwanini sheria iliona umuhimu wa Ngeli badala ya Kiswahili?Sheria inataka hivyo lakini siyo zote kuanzia Mahakama ya Wilaya kwenda juu
Asante nduguZinaandikwa kwa sababu ya 'urahisi wa tafsiri'. Ukisoma nyaraka za kisheria kwa lugha ya kiswahili zinaleta shida katika tafsiri (interpretation). Kuondoa ambiguity kiingereza kinatumika.