Bhang pure
Member
- Feb 5, 2021
- 10
- 8
Asante mkuu...umesema labda dodoma kwa maana ndio wanavuna miezi March-april au kote ni may-june?Hamna mazao ya nafaka yanayovunwa miezi hiyo morogoro labda Dodoma kuanzia mwezi wa tano kwenda wa sita
Dodoma huvuna karanga kuanzia nwanzoni mwa marchHamna mazao ya nafaka yanayovunwa miezi hiyo morogoro labda Dodoma kuanzia mwezi wa tano kwenda wa sita
Nimelenga Morogoro kwa sababu ya ukaribu wake na DarMkubwa kwa nini umeilenga morogoro,tushituane mkuu
Mkuu Njoo Mpwapwa - Ni karibu kabisaa na Moro hivyo hutakuwa mbali na DarNimelenga Morogoro kwa sababu ya ukaribu wake na Dar
Kwa kilimo cha msimu na mazao yake hasa Ni Mahindi-karibu Jimbo la kisiasa la Mlimba ndio rahisi kwa miezi hiyo.Habarini Wana JF
Naomba kufahamishwa juu ya mazao yanayovunwa kwa wingi mkoani Morogoro kwa mwezi March-April, pia na vijiji ambavyo mazao hayo yanapatikana kwa wingi.
Natanguliza shukrani.