Kodi na gharama zingine andaa kama 16m jumla unaiweka mkononiNaomba kujuzwa kuhusu izi gharama za uagizaji befoward ndio izo zinazoonekana kwenye bidhaa pekee au itaghalimu pesa nyingine adi ndinga inaingia mkononi nisije kuagiza kichwakichwa ikaozea bandariniView attachment 2234795