wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Wakuu poleni na shamrashamra za kujiandaa kuhamia Dodoma kwa watakao bahatika.
Husika na tittle hapo juu naomba kujuzwa hii midadi hua ni nini maana na jiandaa kwenda kupiga xyray ya mbavu maana jana wakati naangalia ile michezo ya mieleka gheto na rafiki yangu mimi nilikuwa nimekaa chini kwenye zulia yeye kakaa juu kwenye sofa.
Wakati kule uwanjani mmoja kadoshwa chini yule mwingine akapanda juu kwenye zile kamba akamrukia yule wa chini kwa nguvu zote, sasa hapo hapo yule rafiki yangu aliokaa kwenye sofa nae akanirukia mimi mgongoni, kusema na ukweli niliumia sana sehemu za mbavuni, sasa wakuu nimemuuliza eti anasema midadi.
Wakuu naomba kujuzwa hiyo midadi ndo nini?
Husika na tittle hapo juu naomba kujuzwa hii midadi hua ni nini maana na jiandaa kwenda kupiga xyray ya mbavu maana jana wakati naangalia ile michezo ya mieleka gheto na rafiki yangu mimi nilikuwa nimekaa chini kwenye zulia yeye kakaa juu kwenye sofa.
Wakati kule uwanjani mmoja kadoshwa chini yule mwingine akapanda juu kwenye zile kamba akamrukia yule wa chini kwa nguvu zote, sasa hapo hapo yule rafiki yangu aliokaa kwenye sofa nae akanirukia mimi mgongoni, kusema na ukweli niliumia sana sehemu za mbavuni, sasa wakuu nimemuuliza eti anasema midadi.
Wakuu naomba kujuzwa hiyo midadi ndo nini?